Wednesday, December 31, 2014



SWALI LA PILI.(SWALI HILI NILIPIGIWA SIMU)

DOCTOR.Kutokana na tatizo la nguvu za kliume nililazimika kutumia daya za VEGAS zinazouzwa katika maduka ya madawa.DAWA hiyo ilinisaidia na kuokoa  ndoa yangu lakini mar azote ninapoitumia lazima kichwa kiniume saaana na sasa baada ya miaka ya kutumia dawa hiyo mke wangu alipatya ajali na sikuweza kufanya nae sex kwa miez 8 kwani alikwenda kwao kuuguzwa.Kipindi hayupo mpenzi wangu alikuwa pombe na aliporudi japo nilitumia dawa ile ya vegas haikufanya kazi kabisa jambo ambalo limeleta mgogoro kati yetu.NIMEKUSIKIA redioni ukisema dawa hizo zina madhara sasa kwa mimi ambae nimeathirika hivyo utanisaidiaje?


JIBU:

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME linawakosesha raha wanaume wengi sana na kutokana na kazi yangu  huu ukiwa ni mwaka wa kumi toka nianze kazi hii  nimeshuhudia kuona vijana wengi na wazee wengi waliochoshwa na aibu ya kutokuwa mwanaume kamili.Kutokana na hilo nikiona mwanaume analingia uwezo wake mkubwa  wa kifedha huwa nakuwa na wasiwasi kuwa hana nguvu za kiume za kutosha kwani katika saikolojia imethibitishwa kuwa  watu wa aina hiyo huficha matataizo mengine kwa kujionyesha kuwa wana pesa nyingi na kununua magari ya kifahari.KWELI huwa nacheka sana,na mara nyingine nikimwona mrembo anajilingisha lingisha huwa namwonea huruma kwani najua asilimia kubwa hawafikisshwi kileleni na tafiti zaonyesha kuwa asilimia 72 ya wanawake hudanganya wanaume kuwa wamefika kileleni kumbe uongo mtupu.

Ni kweli kabisa kuwa madawa ya nguvu za kiume yauzwayo katika maduka ya madawa yana madhara kwani hulazimisha ubongo utoe amri moyo upeleke damu kwenye uume(ni sawa kutaka kuendesha gari wakati umefunga breki lazima gari liumie Na mafuta kwisha bure)Maumivu ya kichwa uliokuwa unapata baada ya kutumia dawa hizo ni matokeo ya kwenda kinyume na mfumo wa uzazi.

Unywaji wa pombe mara kwa mara na hasa kiasi kikubwa katika siku ni hatari kwa afya yako.Ukiondoa afya  yako kwa ujumla utapata shida kuwa na nguvu za kukamua utamu wa kutosha wakati wa sex.Pombe inavunja daraja kati ya ubongo na mwili wako na ndio maana walevi huyumbayumba wakaitembea kwa miguu.Pombe INAWEZA KUKULETEA HAMU YA TENDO LA NDOA lakini ukashindwa kusimamisha vizuri(Wapo wachache ambao wakinywa ndo kweli wanapata nguvu lakini huko mbele hali lazima itabadilika na kuwa mbaya)

Ili usimamishe uume ubongo huamuru moyo wako usukume damu kuelekea katuika mishipa iendayo kwenye uume wako na hivyo uume kusimama tayari kwa sex.Katika hali ya kawaida baada ya uume kujaa damu mishipa hujifunga kwa nyuma kuzuia damu isirudi ilikotoka na hivyo uume kusimama kwa muda mrefu.Unapokunywa pombe kiasi kikubwa(inategemea na afya ya moyo wako)mishipa hiyo inashindwa kujifunga na hivyo damu kurudi ilikotoka kwa urahisi na uume kusinyaa na kukosa nguvu kabisa.Matumizi ya pombe kwa muda mrefu huharibu mishipa hiyo na hilo ndio tatizo ulilopata baada ya kukaa bila sex miezi 8 na pombe ikawa ndio mpenzi wako wakati mkeo anauguzwa na wazazi wake.

ILI kurekebisha hali hiyo utahitaji kutumia PRIKA na vyakula ambavyo utaelekezwa katika jarida lililoambatana na dawa hiyo.NA utakapoanza kupata nafuu jitahidi usiwe na haraka ya kumwingilia mwanamke mara uonapo uume wako umesimama.AGIZIA jarida la maeneo 12 ya kuchezea katika mwili wa mwanamke ili upate ufundi sahihi wa kumchezea mwanamke na kurahisiha afike kileleni pale utakapomwingilia.Kujichelewesha kumwingilia mwanamke wakati uume wako umesimama kunaupa uume wako zoezi la kusimama kwa muda mrefu na pia itakusaidia usiwahi kumaliza.

2 comments:

  1. Ninashauri dawa hiyo iwekwe kwa viwango vya urefu tofauti kuliko dawa lita moja ambayo hutaiweza kuipaka kwa wiki tatu. Tafadhali fikiria hilo.

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete