Wednesday, May 20, 2020












KUONGEZA UREFU NA UNENE WA UUME

Jarida hili ni la kukuwezesha ufanye uume wako kuongezeka urefu na unene pia.  Maelezo na maarifa yaliyomo katika jarida hili yamethibitishwa kisayansi na huleta matokeo mazuri. Njia hii ya kufanya ongezeko la uume liligunduliwa karibu miaka 5000 iliyopita baada vijana wa kiarabu wa huko Sudani walipojisikia vibaya juu ya upungufu wa urefu na unene wa uume wao, wazee wa kiarabu wa Sudani waliwafundisha vijana wao waliobarehe jinsi ya kutumia njia hii na vijana hao walifanikiwa kuongeza urefu na unene pia.Waarabu walifanikiwa kuwasaidia wanaume.

Wanasayansi baada ya kugundua taratibu hizo za kale toka kwa Waarabu wa Sudani udadisi wao haukuishia hapo. Waliendelea kuchunguza kuangalia kama katika historia ya mwanadamu kuna jambo lolote ambalo linaonyesha kuwa uume mkubwa ni kitu ambacho ni muhimu kwa mwanaume kuwa nao. Kwa muda mrefu walichunguza maandiko ya kale na wakaja kushangaa kuwa hata Mungu aliyemuumba mwanadamu nae anafahamu haja ya mwanamke kukutana na mwanaume mwenye uume mkubwa.  Katika Biblia ndani ya Kitabu cha Nabii Ezekiel sura ya 23 mstari 19 hadi 20. “Lakini aliongeza uzinzi wake, alipofanya mambo ya kikahaba katika nchi ya Misri. Akawapendelea wapenzi ambao nyama ya mwili wao ni kama nyama ya mwili wa punda, nacho kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi. Ndivyo ulivyokumbuka uasherati wa ujana wako, yalipobanwa matiti yako na Wamisri.” Na Ezekiel 16 mstari wa 26 “Tena umezini na Wamisri, jirani zako, wakuu wa mwili, ukaongeza mambo ya kikahaba.”


JE INAWEZEKANA KWELI KUONGEZA UKUBWA WA UUME?
Jibu la swali hili linatolewa na sayansi yenyewe. Katika majaribio ya kisayansi mamia ya watu hufanyiwa majaribio kuangalia kuwa nadharia iliopo inaweza kuleta matokeo mazuri bila madhara kwa afya ya mwanadamu. Ni muhimu majaribio hayo yathibitishwe ili madaktari wasijeshtakiwa mahakamani kwa kutoa tiba iletayo madhara kwa watumiaji. Katika uongezaji wa uume, wanaume mia moja (100) walipimwa urefu na unene wa uume wao, kabla ya kuanza zoezi la uongezaji. Baada ya kuanza hupimwa tena baada ya wiki mbili na hupimwa mara kadhaa kadri siku zinavyoendelea. Baada ya muda wa majaribio kwisha, wanasayansi wanaelezea zoezi hilo na matokeo yake katika maandishi, taarifa hizo za majaribio zinapokelewa na kuandikwa kwenye majarida makubwa ya kisayansi. Wanasayansi wengine wa nchi mbalimbali husoma na kukubali au kukosoa matokeo hayo. Uhakika kuwa dawa ya RODVA haina madhara nimeupata baada ya ushahidi wa watu ninao wafahamu kutumia bila kudhurika na sio hilo tu bali mimi mwenyewe nimeitumia kuongezea unene wa uume wangu.

Zoezi hili lililomo mikononi mwako limethibitishwa kuwa lina uwezo wa kukuwezesha kuongeza uume. Baada ya wanasayansi kuona kuwa asilimia themanini na saba (87%) ya wanaume waliojaribiwa walipata ongezeko walilohitaji ilikubalika kuwa zoezi hili linafaa kwa wanaume wapendao kupata ongezeko la uume wao. Ni matumaini yangu kuwa ukifuata maelekezo yaliyomo humu nawe utafanikiwa kabisa. Iwapo inakuwa vigumu kupata maji unaweza kununua thermos (chupa ya chai) na kuhifadhi maji na kutumia wakati upendao cha msingi maji yenye uvuguvugu mkubwa. Kama hilo pia haliwezekani basi jitahidi uoge maji ya moto ndipo ufanye zoezi hilo.

Ongezeko la uume linaweza kuanza kuonekana baada ya siku 21 na ni wazo zuri kuweka kumbukumbu ya bidii yako katika zoezi hili, unaweza kupima urefu wa uume wako mara moja kila wiki.

Saturday, May 13, 2017

ASILIMIA KUBWA ya wanawake wanafurahia kuona uume mkubwa, je wewe unao? UTAJUAJE KAMA UNADHARAULIWA KWA UUME MDOGO, tembelea channel yangu youtube inayobebwa na jina DR MAHABA
KUONGEZA UREFU NA UNENE WA UUME

Jarida hili ni la kukuwezesha ufanye uume wako kuongezeka urefu na unene pia.  Maelezo na maarifa yaliyomo katika jarida hili yamethibitishwa kisayansi na huleta matokeo mazuri. Njia hii ya kufanya ongezeko la uume liligunduliwa karibu miaka 5000 iliyopita baada vijana wa kiarabu wa huko Sudani walipojisikia vibaya juu ya upungufu wa urefu na unene wa uume wao, wazee wa kiarabu wa Sudani waliwafundisha vijana wao waliobarehe jinsi ya kutumia njia hii na vijana hao walifanikiwa kuongeza urefu na unene pia.Waarabu walifanikiwa kuwasaidia wanaume.

Wanasayansi baada ya kugundua taratibu hizo za kale toka kwa Waarabu wa Sudani udadisi wao haukuishia hapo. Waliendelea kuchunguza kuangalia kama katika historia ya mwanadamu kuna jambo lolote ambalo linaonyesha kuwa uume mkubwa ni kitu ambacho ni muhimu kwa mwanaume kuwa nao. Kwa muda mrefu walichunguza maandiko ya kale na wakaja kushangaa kuwa hata Mungu aliyemuumba mwanadamu nae anafahamu haja ya mwanamke kukutana na mwanaume mwenye uume mkubwa.  Katika Biblia ndani ya Kitabu cha Nabii Ezekiel sura ya 23 mstari 19 hadi 20. “Lakini aliongeza uzinzi wake, alipofanya mambo ya kikahaba katika nchi ya Misri. Akawapendelea wapenzi ambao nyama ya mwili wao ni kama nyama ya mwili wa punda, nacho kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi. Ndivyo ulivyokumbuka uasherati wa ujana wako, yalipobanwa matiti yako na Wamisri.” Na Ezekiel 16 mstari wa 26 “Tena umezini na Wamisri, jirani zako, wakuu wa mwili, ukaongeza mambo ya kikahaba.”


JE INAWEZEKANA KWELI KUONGEZA UKUBWA WA UUME?
Jibu la swali hili linatolewa na sayansi yenyewe. Katika majaribio ya kisayansi mamia ya watu hufanyiwa majaribio kuangalia kuwa nadharia iliopo inaweza kuleta matokeo mazuri bila madhara kwa afya ya mwanadamu. Ni muhimu majaribio hayo yathibitishwe ili madaktari wasijeshtakiwa mahakamani kwa kutoa tiba iletayo madhara kwa watumiaji. Katika uongezaji wa uume, wanaume mia moja (100) walipimwa urefu na unene wa uume wao, kabla ya kuanza zoezi la uongezaji. Baada ya kuanza hupimwa tena baada ya wiki mbili na hupimwa mara kadhaa kadri siku zinavyoendelea. Baada ya muda wa majaribio kwisha, wanasayansi wanaelezea zoezi hilo na matokeo yake katika maandishi, taarifa hizo za majaribio zinapokelewa na kuandikwa kwenye majarida makubwa ya kisayansi. Wanasayansi wengine wa nchi mbalimbali husoma na kukubali au kukosoa matokeo hayo. Uhakika kuwa dawa ya RODVA haina madhara nimeupata baada ya ushahidi wa watu ninao wafahamu kutumia bila kudhurika na sio hilo tu bali mimi mwenyewe nimeitumia kuongezea unene wa uume wangu.

Zoezi hili lililomo mikononi mwako limethibitishwa kuwa lina uwezo wa kukuwezesha kuongeza uume. Baada ya wanasayansi kuona kuwa asilimia themanini na saba (87%) ya wanaume waliojaribiwa walipata ongezeko walilohitaji ilikubalika kuwa zoezi hili linafaa kwa wanaume wapendao kupata ongezeko la uume wao. Ni matumaini yangu kuwa ukifuata maelekezo yaliyomo humu nawe utafanikiwa kabisa. Iwapo inakuwa vigumu kupata maji unaweza kununua thermos (chupa ya chai) na kuhifadhi maji na kutumia wakati upendao cha msingi maji yenye uvuguvugu mkubwa. Kama hilo pia haliwezekani basi jitahidi uoge maji ya moto ndipo ufanye zoezi hilo.


Ongezeko la uume linaweza kuanza kuonekana baada ya siku 21 na ni wazo zuri kuweka kumbukumbu ya bidii yako katika zoezi hili, unaweza kupima urefu wa uume wako mara moja kila wiki.

Tuesday, April 18, 2017

JINSI YA KUSHINDA KESI MAHAKAMANI



Nimekuwa na marafiki ambao ni wanasheria na nimeona bei kubwa ambazo wanatoza kuwasaidia watu wenye kesi mbali mbali, bei hizo zimewashinda wengi ambao wanajiona kuwa uwezo wao wa kuhoji na kujieleza mahakamani ni mdogo sana. Pamoja na utaalamu wao wanasheria kuna mbinu za kisaikolojia wanazotumia kumfanya mtu ashindwe kujieleza au kujitetea vizuri na hivyo hata kama hana kosa anaonekana kuwa ana makosa.

            Mimi sio mwanasheria lakini ninao ufahamu mkubwa wa misingi ya sheria na ninafahamu mbinu za kujenga hoja nzito za kumfanya Hakimu aone ukweli na kunipatia hukumu ya haki. Huko nchi za magharibi wanasaikolojia hutumika kama mashahidi wa ukweli uliodhibitika (Witnesses of fact). Historia ya wanasaikolojia kutumika mahakamani iliaanzia mwaka 1896 ambapo mwanasaikolojia Shrenk Nutzing alitumika kusaidia mahakama katika kesi ya mauaji ya mwaka 1896 huko  mjini Munich, na historia hiyo iliendelea pale 1911 mwanasaikolojia Marbe Wuzdt aliitwa kusaidia kampuni katika kesi iliohusisha dereva wa garimoshi aliesababisha ajali katika mazingira ya kutatanisha na ilisaidia dereva huyo kushinda kesi. Kutokana na utendaji mzuri wa wanasaikolojia mahakamani mwaka 1962 serikali ya Marekani ilianza kuheshimu wanasaikolojia na walipewa wigo mkubwa mahakamani.

            Kwa kadri mahakama ilivyoona ufanisi wa wanasaikolojia ndivyo matarajio yao kuwa makubwa na kitengo maalumu cha upelelezi kiitwacho FORENCIS kikaundwa kuisaidia mahakama kupata ushahidi kwa urahisi kwa msaada wa  saikolojia.

            Napenda nitoe nafasi kwa watu ambao wanaona kuwa hawataweza kulipia gharama  kubwa za wanasheria kuwasiliana na mimi kwa msaada huo kwa gharama ndogo ya Tsh.20,000/= tu. Nitakupa mbinu za kujieleza, mbinu za kuuliza maswali kwa wanaokushtaki na pia vitu vya kufanya ili uweze kushinda kesi yako.Binafsi   nimezitumia mbinu hizo na kushinda kesi mahakamani na ninaamini kuwa naweza kukusaidia na wewe.

            Tafiti zinaonyesha kuwa mahakimu ni kama wanadamu wowote na wanaweza kusikiliza maneno yako na kutengeneza mtazamo unaowafanya wakuone kama mkosaji. Kutokana na ukweli huo hata wanasheria                   (Ma advocate) wanapaswa waweze kutumia saikolojia ili waweza  kubadilisha mtazamo wa hakimu . Tafiti zinaonyesha kuwa hakimu anao uwezo wa kukusikiliza vizuri ndani ya wastani wa dakika 17 na dakika 5  za mwanzo za uongeaji wako uwe mwanasheria au mmachinga katika dakika 5 za mwanzo ndipo utaweza kumfanya hakimu akusikilize vizuri katika dakika 12 zinazofuata. Saikolojia inaweza kukusaidia kumhakikishia hakimu kwa kukupa lugha ya picha ambayo ina nguvu kupenya akili ya hakimu. Jaribu leo sayansi hii ya ajabu ushinde kesi yako.
LIPIA KWA NAMBA 5410574( HELTHY LOVE CLINIC ), KISHA NIPIGIE KWA NAMBA:
0754 – 039994. KARIBU UPATE YATAKAYO KUFANIKISHA

UUME USIOTOSHA UKO HIVI



NI KWELI KABISA kuwa hukuchagua kuwa na uume mdogo lakini ukweli huo hausaidii kumzuia mwanamke asikulinganishe au ashangae kwanini unapata shida sana kumfikisha kileleni.Kaka mmoja aliefika ofisini kwangu baada ya kushuhudiwa kuwa ninayo dawa ya kuongezea urefu wa uume na unnene wake alisema kuwa kabla hajaoa alidhamiria kuoa bikra kwa kuwa alijijua kuwa na uume mdogo na aliamini atafute mwanamke ambae hataweza kulinganisha uuumne wake mdogo na wawa mwanaume mwinginekuepuka kusalitiwa.ALIFANIKIWA KUMPATA BIKRA NA baada ya miaka 8 ya ndoa mwanamke aligundua kuwa tatizo la yeye kutofika kileleni sio lake ni la uume mdogo wa mumewe na alileta vituko vilivyovunja NDOA HIYO
      UUME SAHIHI kipimo chake kisipungue nch 6 na nusu na unene nch 4na nusu , unapima ukiwa NDOA
Posted: October-2013


Epukana na matapeli wanaojitangaza kuwa wana dawa za kuongeza ukubwa wa uume wako kwani ni wengi mno. Wamekuja watu wengi ambao  wametapeliwa na watu ambao wanajidai kuwa wanazo dawa za kukuza uume ambazo hazina msingi wowote katika sayansi ya mwili wa mwanadamu. Kwa miaka 9 nimeweza kuwapatia wanaume wengi dawa ya RODVA ambayo imefanyiwa utafiti wa miaka 14 na jopo la madaktari ambao utafiti wao uliwekwa katika Jarida la BRITISH JOURNAL OF MEDICINE. Dawa hii ya mafuta ina uwezo wa kuongeza urefu wa uume wa nchi 3  na unene nchi moja na sio zaidi ya hapo. Wewe mwenyewe utachagua kiasi gani unataka uongeze kwani utakuwa unaona ukuaji wake wewe mwenyewe na uachapo kutumia dawa pale uridhikapo na ongezeko basi hilo ndilo litakuwa ongezeko la mwisho. Ongezeko hilo litakuwa la kudumu.
Pamoja na kwamba dawa hiyo haina madhara ila inahitaji uvulimivu kwani inafanya kazi polepole kuhakikisha usalama wa afya ya uume. Ongezeko la kwanza utaliona baada ya wiki tatu na mafuta hayo yanapakwa mara moja tu kwa siku. Dawa hiyo inauzwa Tshs. 40,000 tu. Ni ya uhakika

UNAWEZA KUONGEZA UKUBWA WA ASKARI WA TENDO LA NDOA

ONGEZEKO NI LA HAKIKA KABISA
UKWELI JUU YA UKUBWA WA UUME


Yafuatayo ni majumuisho ya matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya ukweli juu ya ukubwa wa uume. Tafiti hizo zimefanywa na wanasayansi wa mapenzi toka nchi za Ujerumani, Uingereza, Sweden, Nigeria na Afrika ya kusini. Jisomee na uone mambo yalivyo matamu usifuate maneno ya mitaani na jichunguze uone kama uko katika kiwango au la.

(1)        Iwapo wewe ni mwanamke na hupendelei uume mkubwa basi wewe ni wa ajabu.

(2)        Wanawake wengi hupendelea uume mkubwa zaidi ya wanaume kupendelea matiti au makalio makubwa.

(3)        Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 (CM 15) na nchi 7 (CM18) na unene kati ya nchi 5 (CM12) na nchi 51/2 (CM 131/2).

(4)        Unapofikiria kuwa uume wako ni mdogo mara nyingi unakuwa hujakosea.

(5)        Wanawake wengi hujali kuhusu ukubwa wa uume unapokuwa haujasimama.

(6)        Wanawake wanaojua mapenzi hupendelea kushika uume wa mwanaume unapokuwa umesimama na pia pale ambapo haujasimama.

(7)        Wanawake wanaojua mapenzi hupendelea kunyonya uume ulio mkubwa kuliko ule ulio mdogo

(8)        Uume mkubwa huleta burudani zaidi kwa mwanamke zaidi ya uume mdogo kwani unagusa maeneo mengi zaidi yenye miisho mingi ya mishipa ya fahamu na unaweza kuondoa hewa yote iliomo ukeni na kutengeneza mazingira mazuri ya raha zaidi.

(9)        Asilimia ishirini ya wanawake wote watadumu na kuwa waaminifu kwa wapenzi wao wenye uume mkubwa sababu kubwa ni raha wanayopata na sio fedha au kitu kingine.

(10)     Asilimia 40 ya wanawake watadumu na mpenzi mwenye uume mdogo kwa sababu ya pesa anazofaidi.

(11)     Asilimia 80 ya wanawake wangependelea wapenzi wao waongeze ukubwa wa uume wao.

(12)     Wanawake wengi wanaona kuwa ni kero kuwa na mwanaume mwenye uume mdogo japo hawasemi na kukaa kimya kama vile hakuna shida yoyote. Na sio hilo tu bali pia inawaboa sana kufikiria juu ya mapungufu hayo.

(13)     Ukikutana na mwanamke anayesema kuwa hajali juu ya ukubwa wa uume ni muongo.

(14)     Wanawake wengi hutamani kulala na mwanaume mwenye uume mkubwa zaidi ya ule wa mpenzi wake japo kwa siku moja tu katika historia ya maisha yake.

(15)     Wanawake wengi hujitapa kwa wanawake wenzao iwapo wana mwanaume mwenye uume mkubwa wa kutosha.

(16)     Wanawake wanaweza kumvumilia zaidi mwanaume mwenye uume mkubwa kupita kiasi kuliko kumvumilia mwenye uume mdogo.

(17)     Wanaume wenye uume mdogo huachwa na wanawake kwa urahisi zaidi kuliko wale wenye uume mkubwa. Na wanaoachwa kwa sababu ya uume mdogo ni wengi zaidi ukilinganisha na wale wenye uume mkubwa.

(18)     Kutokana na ukweli huo upo uwezekano mkubwa kuwa mwanamke anapokuacha au kukusaliti basi mwanaume mpya ni mwenye uume mkubwa zaidi yako.



             NGUVU ZA ASKARI WA TENDO LA NDOA

Tatizo la nguvu za kiume na kuwahi kumaliza linawasumbua wanaume wengi sana na kwa bahati mbaya kwa kuwa tatizo hilo halisababishwi na wadudu wa aina yoyote na tiba yake imekuwa ngumu. Usidanganywe kuwa kuna tiba ya kudumu ya tatizo hilo.

Tiba ya muda mfupi, yaani unameza kidonge kimoja saa moja kabla ya kukutana na mwanamke katika tendo la ndoa, kesho ukihitaji tena inakupasa umeze kidonge kingine chenye thamani isiyopungua Tshs. 3000.

Tafiti zimegundua njia nafuu na salama ya kukupatia nguvu za kutosha na kuzuia kuwahi kumaliza. Tiba utakayoipata toka kwangu inahusu mazoezi maalumu ya misuli ihusikayo na nguvu za kiume na virutubisho ambavyo kazi yake ni kufanya mzunguko wa damu katika misuli hiyo kuongezeka na pia kufanya mishipa ya fahamu ifanye kazi nzuri ya kukuwezesha kurudia tendo pale akili yako itakapotaka kurudia roundi nyingine. Tiba hiyo ni Tshs. 25,000 tu. Tiba hiyo inaitwa KUSHINDA KUTOTABIRIKA KWA NGUVU ZA KIUME.





DAWA YA RODVA ina uwezo wa kukuongezea urefu usiozidi nch 3 na unene nch 1 tokea pale ulipo, yyani kama uume wako ukisimama una nch 4  utaweza kuongezea uwe 5 au 6 a 7 na sio zaidi ya hapo wewe mwenyewe unapanga uongeze kiasi gani lakini usitegemee zaidi ya hapo. NIKO MWANZA TUWASILIANE KWA NAMBA 0754 039994

Thursday, July 7, 2016

JINSI FEDHA ZINAVYOATHIRI MAPENZI


Kila mtu anatumia fedha, sisi sote tunataka fedha na tunafanya kazi kutafuta pesa zaidi na mara nyingi tunafikiri juu ya fedha na matumizi yake. Hebu fikiria kama kungekuwa hakuna fedha duniani maisha yangekuwaje leo. Hebu fikiria umefika dukani na unataka kununua kitu lakini mfukoni huna fedha ya aina yoyote ungefanya nini? Labda ungeweza kumuomba mwenye duka akupe kazi ya kupanga mabox na ufanye usafi dukani ili akupe kilo moja ya mchele. Fedha ina kazi kubwa mbili:-

(1)        Ni kitu ambacho kinakuwezesha kubadilishana na mtu mwingine vitu au huduma kama vile kununua chakula au muda wa maongezi kwa simu yako.

(2)        Ni ghala la thamani, fedha inakuhifadhia thamani ambayo unaweza kuitumia baadae utakapohitaji kitu au huduma fulani ambayo itasaidia katika kukufanya ufurahie maisha yako.

Fedha hainunui penzi lakini penzi haliwezi kununua zawadi ya valentine, fedha haziwezi kununua penzi lakini hurahisisha kazi ya kupendana sikiliza kesi hii.

Mimi ni dada wa miaka 27 nimekuwa na uhusiano na kaka mwenye uwezo mkubwa wa kifedha kwa zaidi ya mwaka mmoja la ajabu ni kwamba anajipendelea sana yeye mwenyeywe na haangalii kipato change kidogo, atanunua simu mpya, laptop mpya japo anazo za zamani zinazofanya kazi na kwa upande wa nguo usiseme makabati hayatoshi. Inaniumiza kuona anaishi maisha ya fahari na haoni ninavyohangaika. Naogopa kuzungumza nae juu ya hilo kuogopa kuonekana napenda pesa zake zaidi na inaniumiza moyo wangu.

Ningependa nitoe angalizo kwa wanaume ambao wana wapenzi ambao wana uwezo mkubwa wa kifedha zaidi yao. Kwa mwanaume ni muhimu ukumbuke kuwa haijalishi mwanamke ana uwezo mkubwa wa kifedha kiasi gani angependa aendelee kuchukuliwa kama mwanamke na unapaswa kuhakikisha kuwa unampa mahaba sahihi na ya kutosha nje na ndani ya chumba cha kulala. Onyesha shukrani za kutosha juu ya mchango wake mkubwa kifedha japokuwa mwanamke huyo ana uwezo mkubwa kifedha. Kumbuka kuwa  mwanamke huyo bado anatarajia zawadi utakayomchagulia wewe kuonyesha jinsi gani unamuona ni wa kipekee.Kwa kufanya hivyo utamzuia asione uwezo wako mdogo wa kifedha kutokana na ukubwa wa penzi lako.

Mwanamke ambaye anajikuta ana fedha nyingi kuliko mwanaume ajitahidi kuepuka kuonekana yeye ndie dereva wa uhusiano wao, tambua mwanaume hatavumilia aina yoyote ya dharau au kupewa nafasi ya chini kwako. Hivyo kuwa mwangalifu katika maneno na mwenendo wako.  Kama mwanamke lazima ukumbuke kuwa mpenzi wako angependa akulipie huduma fulani japokuwa uwezo wake wa kifedha ni mdogo hivyo aonyeshapo nia ya kufanya hivyo usimzuie.

Mwisho kwa wote wawili pale mnapotoka kwenda hotelini kwa chakula na vinywaji ni muhimu mjadiliane kuwa ni nani atakaelipa ili isijetokea hali itakayomuaibisha yule mwenye kipato  kidogo na kuleta maumivu kwake.   

Wataalamu wa sayansi ya mapenzi katika tafiti zao wanasema asilimia 35 ya wapendanao hugombana juu ya mambo yanayohusu fedha kila wiki na asilimia 10 ya wapendanao hukwazana juu ya mambo yanayohusu pesa karibu kila siku. Takwimu hizo zinakupa mwanga juu ya umuhimu wa kuangalia kwa makini juu ya eneo hili. Na kama takwimu hizo tungezibadilisha sura yake itatutisha na kuweza kufanya bidii katika mwenendo wetu juu ya pesa na tukasema asilimia 35 ya wapendanao huachana kila wiki kutokana na mambo ya pesa bado tungekuwa tunasema ukweli kwa asilimia fulani kwani ni kweli kwamba wapo watu ambao wameharibu ndoa zao kwa sababu ya pesa kidogo kuwepo kati yao au kuwepo kwa pesa kupita kiasi na mgogoro ukazuka juu ya nani atumie nyingi zaidi ya mwenzie na zitumikeje pesa hizo. Mara nyingi kutokana na kushindwa kupanga matumizi mazuri ya fedha watu wengine wamejikuta wakinunua penzi nje ya ndoa zao kuziba mapungufu yaliyomo katika ndoa zao.

Tafiti ya hivi karibuni inasema kuwa ni rahisi kutabiri ndoa itakayovunjika uonapo mke na mume ambao hawaelewani au kugombana katika mambo yanayohusisha fedha. Kiongozi wa utafiti huo Dr. Jeffrey Dew anasema kwa kuwa kila mtu ana mtazamo wake juu ya maeneo muhimu ya matumizi ya fedha .Na kutokana na umuhimu wa fedha  katika maisha yetu ni rahisi sana watu kushindwa kuelewana katika eneo hilo. Mshiriki mwingine katika utafiti huo Dr. Sonya Britt anasema sio tendo la ndoa, watoto au wakwe vinavyoongoza katika kuleta msukumo wa watu kuachana bali ni fedha na mambo yahusuyo fedha. Kwa wanaume imeonekana kuwa walijikuta wanataka kuachana na kuvunja ndoa juu ya masuala yahusuyo fedha pekee na kwa wanawake ilikuwa masuala ya fedha na tendo la ndoa jambo linalothibitisha hali ya wanawake walioolewa na wanaume wenye fedha nyingi kwenda nje ya ndoa. Pamoja na hayo bado ilionekana ili kuwa pale inapotokea ugomvi juu ya pesa watu hutumia maneno makali zaidi kuliko katika maeneo mengine. Jambo linaloweza kutengeneza uhasama kati ya wapendanao. Dr Jeffrey Dew anasema kuwa utafiti wao unaonyesha hoja ya wapendanao kutumia akili yao vizuri katika mambo yahusuyo fedha na umuhimu wa kukagua hisia na mitazamo tuliyonayo juu ya fedha na matumizi yake.
    
Labda nitoe mifano michache hapa,mwanaume anaombwa fedha ya maziwa ya mtoto wao wa mwaka mmoja na kwa kuwa anajua mke wake anafanya kazi anasema hana fedha akijua maziwa hayatakosekana kwani mke wake anao uwezo wa kununua.Inatokea jioni hiyo hiyo mwanaume huyo anaona watembeza viatu ananunua viatu vizuri sana ,je hapo mwanamke hatakasirika?Akikasirika na hasemi kitu na hapohapo sayansi inasema wanawake wengine wakikasirika hupatwa na hamu ya tendo la ndoa na mwanamke huyo akivamiwana hamu ya tendo la ndoa na akakumbuka JOHN alikuwa anamtaka kwa muda mrefu  si ataenda kwa JOHN na kumpa kuchikuchi? usaliti una vyanzo vingi na pesa inaweza kuwa kianzishi.Na angalia mwanamke anaemwambia mchumba wake kuwa hana pesa kabisa na anaomba msaada kwa mchumba wake lakini baadae anaonekana na gauni jipya kabisa na ni la bei mbaya huoni mchumba wake atafikiria vibaya? kuna mambo mengi yanayofanana na hayo kama vile mwenzio anakuomnba fedha na ukasema huna na akatokea ndugu yako akakuomba pesa ukampa hayo yote huleta maumivu makali kwani mtu anajiona kuwa hapendwi.

Ni kweli kuwa fedha haziwezi kununua penzi lakini huwezi kusema kuwa fedha sio muhimu katika ujenzi wa penzi. Katika historia ya wanadamu imeonekana wazi kuwa mara nyingi ukiwa na uwezo mkubwa wa kifedha imesaida mtu kupendwa na wengi zaidi. Ni vigumu kwa mtu kukubali kuwa hatojali kuwa na mtu asiekuwa na pesa lakini wengi wangefurahia kuwepo na pesa za kutosha katika penzi lao.

Utafiti uliofanyika na Chuo kikuu cha TEXAS huko Marekani unaonyesha kuwa kupungua kwa fedha katika uhusiano ulioanza katika mazingira ya kuwepo pesa nyingi husababisha watu wawili waliopendana kipindi cha kwanza kuachana kutokana na pesa kupungua. Hivyo inatokana kuwa pale ambapo inaonekana kuwa fedha hazitoshi kwa mahitaji yaliozoeleka au mahitaji yanayotamaniwa mikwaruzano kati ya watu wawili wapendanao huongezeka na kusababisha kutoridhika na uhusiano huo.Kutoridhika huko kutasababisha mikwaruzano na usaliti wa chini kwa chini.

Daktari mwingine aliefanya utafiti katika eneo Dr. Terri Orbuch anasema haijalishi watu wanapendana kiasi gani marumbano yanayohusu pesa hutingisha sana mahusinao hayo. Tafiti hiyo ya muda mrefu inaonyesha kuwa katika ndoa 10 ndoa 7 lazima zitakuwa na mizozo na mvutano katika eneo hilo na Dr. Terri anasema ndio maana watu wengi hukwepa kuzungumzia hisia zao juu ya jambo hilo. Pamoja na hilo pia imeonekana kutokana na ugumu wa kuzungumzia hisia za mtu juu ya swala hilo mtu anajikuta anamchukia mwenzie bila kumweleza kwani anamuona kama mzigo au anaona anatumiwa kama ATM ya Benki.

Haijalishi mtu ana fedha nyingi kiasi gani lazima atakuwa anafikiria juu ya kupungua na kuongezeka kwa fedha zake na zaidi  ya hayo angependelea kuwa fedha zake zinaongezeka hivyo atokeapo mtu ambae anasababisha zipungue lazima ataonekana kama tishio kwake.Hofu ya kupungua kwa fedha na aibu ya kutokuwa na fedha za kutosha zitasababisha misuguano ya hapa na pale.

Hisia juu ya fedha unaweza kuziona zinajitokeza kama ifuatavyo, iwapo unaogopa kuishiwa fedha hapo hapo unakuwa unaogopa kudharauliwa na kuachwa na hivyo hatua zako za kutaka kujilinda na hayo lazima zitaleta migongano.

Iwapo unajikuta huna fedha za kutosha kukidhi mahitaji ya mpenzi wako unajiona kuwa hufai kwani humtoshelezi mahitaji yake, hali hiyo huleta uchungu nafsini. Kwa kuwa hupendi uchungu huo ujulikana utajikuta unajawa na hasira wakati wowote pale fedha inapohitajika kwa matumizi Fulani na hasira hiyo italeta chachu kati yenu.

Utafiti uliofanywa na gazeti moja la SELF magazini miongoni mwa wanandoa 23,000 ilionekana kuwa asilimia 40 yao walisema uongo juu ya matumizi ya fedha zao. Kati ya wanandoa  hao asilimia 60 wanasema kuwa kushindwa kuwa mwaminifu kwenye matumizi ya fedha ni sawa na mtu kushindwa kuwa mwaminifu na kufanya mapenzi nje ya ndoa. Na kati ya watu hao 1/3 wamesema kuwa kutokuwa mwaminifu katika matumizi ya fedha humfanya mtu kuhalalisha uzinzi nje ya ndoa.

Fedha hazifanyi kazi ya kununua vitu au huduma peke yake, pesa zinaweza kusaidia mtu kuoneysha mapenzi, ubabe na uhuru pia jinsi gani mtu anapenda pesa zake zitumike ni uamuzi wake binafsi na hivyo pale ambapo mtu mwingine ana shiriki matumizi ya pesa zake uhuru wake kwa kutumia fedha hizo unaingiliwa na hivyo kama penzi la watu wawili halina mizizi mizito lazima mvutano wa aina fulani utatokea na isipotumika hekima migogoro itachipua kwa urahisi.

Kwa mfano  mpenzi wako anaomba umtumie shilingi 20,000 na yeye hajui umepangia nini fedha zako na wewe ili usionekana huna pesa unatoa kwa shingo upande. Angalia hivi juzi umempa shilingi 20,000 leo  unamwambia aje alale kwako unatoa visingizio hali hazuiliwi na wazazi  au mtu yeyote. Sisemi kuwa kwa kutoa shilingi 20,000 ndio amenunua penzi na lazima alipwe nasema angalia hisia za mtu huyu, na mfano huo huo ukigeuza utaona jinsi gani migogoro hutokea.

Ugeuze hivi leo mchumba wako wa kike kwa hiari yake mwenyewe kajitolea kuja kulala kwako akisema ana hamu na wewe na wewe ukafurahi sana lakini siku tatu zijazo akakuomba Tshs. 20,000 ulioipangia jambo fulani muhimu na ukamwambia sina dada huyo ataumia sana kwani anaona humpendi. Na kama utatoa pesa hiyo kwa shingo upande tayari umeathirika kisaikolojia.

Shida iliopo inatokana mtazamo wa mambo ya kifedha kati yenu. Unaweza kuona mtu analipia chakula hotel, chumba na hata kukupa hela ya nauli lakini ukimuomba Tshs 20,000 akakunyima unaona hakujali kikamilifu. Huoni kiasi gani anatumia   kwa starehe zenu na mawasiliano yenu pia hujui mipango mikubwa aliyonayo. Hebu angalia mfano huu huyu dada kabla hajapata kazi mchumba wake alijitolea gharama zake zote za saluni na chumba anachoishi na sasa dada huyo amepata kazi bado anataka mchumba wake aendelee kumlipia chumba alichopanga na gharama za saluni eti kw akuwa kaka huyo ana kipato kikubwa.