HATARI
ZA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME ZENYE KEMIKALI
Tatizo
la nguvu za kiume linalowaathiri mamilioni ya watu na pia kuathiri mahusiano ya
kimapenzi .Katika kazi yangu katika Cliniki ya Afya ya Mapenzi asilimia 97% ya
wateja wangu ni wanaume na leo nimeona nizungumzie hatari za kutumia madawa
mengine yauzwayo katika maduka ya madawa mbalimbali.
Nimeamua
kuandika habari hizi baada ya kaka mmoja aliesafiri toka Tabora na kuja kuniona
baada ya kwenda katika hospitali ya moja ya rufaa akiwa na tatizo la kuwahi kumaliza bila kupata
msaada. Tatizo hilo limekuwa kero kwa mke wake na hivyo kutaka kuliondoa kwa
gharama yeyote ile. Kaka huyo alienda kwa Daktari bingwa wa mambo ya uume na uke na mambo ya viungo vya uzazi kwa
kitaalamu wanaitwa UROLOGISTS.
Baada
ya kuelezea tatizo lake kwa Daktari huyo bingwa alipewa dawa ambazo ni kwa tatizo
la nguvu za kiume na hazikumsaidia katika tatizo lake. Nilishangaa kusikia kuwa
Daktari bingwa ameshindwa kumsaidia kaka huyo kwani tayari huyo kaka alikuwa
anafahamu madhara ya dawa hizo na hivyo kwa kuwa alikuwa tayari amekwisha sikia
katika vipindi vyangu vya redio vya USIKU WA MAHABA siku ya Jumatano katika
redio FREE AFRIKA alinitafuta alikuja kwangu kama hatua ya mwisho katika
mahangaiko yake.Nilifanikiwa kumsaidia na tatizo lake likawa ni historia.
Mwanzoni
mwa kazi yangu 2006 nilikuwa nawapa watu dawa hizo zinazouzwa madukani na siku
moja Mzee mmoja anaefanya kazi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Jijini Mwanza
alikuja na malalamiko yanayofanana kabisa na kaka huyo toka Tabora. Nilimweleza
juu ya tiba mbili nilizonazo yaani dawa hizo za madukani zinazokupa nguvu ya
masaa 4 na dawa yangu ya asili inayoweza kukuondolea tatizo hilo baada ya siku
5 hadi 7. Baba huyo akachagua dawa hiyo
ya haraka akaitumia siku hiyo hiyo ili kumziba mdomo mke wake.
Nilimuuzia
dawa hizo baba huyo mwenye umri wa miaka 46 na alienda na kuzitumia hizo dawa.
Kesho yake baba huyo alirudi ofisini kwangu na kuniambia kuwa kweli alifanikiwa
kumfurahisha mke wake usiku uliopita lakini majira ya saa 9 usiku aliamshwa na
maumivu makali ya kichwa na kuiona dunia yote kuwa ni rangi ya njano.
Nisingependa upate matatizo yanayofanana na
hayo na yafuatayo ni uthibitisho wa kisayansi wa madhara ya dawa hizo:-
Kuna
tovuti 22 milioni zinazoshabikia madawa mbalimbali ya nguvu za kiume zenye
kemikali za hatari kwako kwa hiyo ni
rahisi kushawishiwa na kutapeliwa. Shirika la kudhibiti madawa na vyakula la huko Marekani
limeorodhesha majina ya madawa yenye
madhara kwa mtumiajo na madawa hayo ni Zimayx, vigor – 25, True Man ,Shanghai
Ultra, neophase, Nasutra Man up now, Liviro 3 , Libidus, Lady Shanghai, Hs joy
of love, Energy Max, Blue steel, Actva Sx ,Activa Rx na Adam free.
Madawa
hayo yote na mengineyo yasioorodheshwa hapo hufanya kazi kama ifuatavyo:-
Madawa
hayo yana kemikali iitwayo PHOSIPHODIESTERASE 51 (PDE51) na kazi ya PDE51 ni
kuzuia nguvu ya Enzyme iitwayo PHOSPHODIESTERASE 5 (PDE5)ambayo ndiyo inayozuia
uume kusimama kama inavyotakiwa. Kemikali ya PDE51 inanyonywa ndani ya
damu na ndani ya saa moja mwanaume anakuwa
na nguvu ya kumuwezesha kushiriki tendo la ndoa ndani ya masaa yasiozidi 4
kutokana na afya ya mtu mara nyingi
nguvu za dawa hiyo huweza kwenda hadi
masaa 7.
Ubaya
wa madawa hayo na mengine ni kwamba yana
kemikali iitwayo GLYBURIDE yenye nguvu ya kuathiri mapigo ya moyo na kushusha
presha ya damu ambayo ni hatari sana. Mwaka 2008 huko mjini Singapore watu 150
walilazwa hospitalini kutokana na kutumia madawa hayo.
Shirika
la kuthibiti madawa la Marekani la FDA lilifanya upelelezi na kugundua kuwa
madawa mengi ya nguvu za kiume yana kemikali ambazo ni za hatari.
Dalili
za kuwa umeanza kuathirika na madawa hayo UNAPOZITUMIA ni hizi zifuatazo:-
(1)
Maumivu ya misuli.
(2)
Kupata shida ya upumuaji.
(3)
Maumivu ya kichwa.
(4)
Maumivu ya macho au kulegea kwa macho.
(5)
Kupiga chafya ovyo ovyo.
(6)
Kuvurugika kwa tumbo mara baada ya kula
chakula.
(7)
Mafua.
(8)
Kupata shida kupata usingizi.
(9)
Ngozi kuwa na joto lisilo la kawaida.
(10)
Maumivu ya masikio.
(11)
Kichefuchefu.
(12)
Ulimi kuwa mwekundu kuliko kawaida.
(13)
Kushindwa kumwaga mbegu hata ukifanya tendo
la ndoa kwa muda mrefu.
(14)
Kuona dunia imebadilika rangi.
(15)
Kuwa na hali ya wasiwasi bila ya sababu
yeyote.
(16)
Maumivu kifuani.
(17)
Kutokuona sawa sawa.
(18)
Njaa ya kupita kiasi.
(19)
Kuongezeka kwa ukubwa wa mboni ya jicho.
(20)
Kutokwa jasho sana.
(21)
Maumivu ya mgongo.
(22)
Kutopendelea mwanga mkali.
(23)
Uchovu wa bila sababu.
Ndugu
nimeandika hayo kufumbua macho uone kwa yapo madhara na ukitaka uhakika iwapo
unafahamu kiingereza tafuta kwenye GOOGLE kwa kuandika ED drugs are harmful na utajionea mwenyewe ukweli huo.
Dawa
ya PRIKA utakayoiona katika blog hii ni ya asilia kwani imetokana na mimea
halisi na haifanyi kazi mpaka imetanguliwa na mazoezi maalumu utakayofanya
ukiwa umekaa kwenye kiti. Uanzapo kutumia dawa hii ya PRIKA utaanza kuona
mabadiliko baada ya siku 5 – 7 lakini utaitumia dawa hiyo kwa wiki mbili ili
kulifuta tatizo la nguvu za kiume na la kuwahi kumaliza .Unapoagiza dawa hiyo
utapewa kijarida kitakachokupa maelekezo ya kutumia dawa hiyo na pia maelekezo
ya mambo ya kuepuka ili tatizo hilo lisikurudie tena maisha yako yote.
NGUVU ZA ASKARI WA TENDO LA NDOA
Tatizo la nguvu za kiume na kuwahi kumaliza linawasumbua wanaume wengi sana na kwa bahati mbaya kwa kuwa tatizo hilo halisababishwi na wadudu wa aina yoyote na tiba yake imekuwa ngumu.Tiba utakayoipata kwangu imetokana na utafiti wa miaka 7 na ukifuata maelekezo yake hutasumbuliwa tena na matatizo ya guvu za kiume na kuwahi kumaliza.
Tafiti zimegundua njia nafuu na salama ya kukupatia nguvu za kutosha za kuidumu na kuzuia kuwahi kumaliza. Tiba utakayoipata toka kwangu inaaanza na zoezi la kushtua misuli na mishipa husika kasha ndio unatumia dawa hiyo kwa asubuhi na jioni. Dawa hiyo ya PRIKA inawezesha mishipa ya fahamu pamoja na mishipa ya damu kufanya kazi yake vizuri .Inamaliza tatizo la kuwahi kumaliza(kupizz) kwa kuwezesha msuli kujaaa damu na kuibana njia ya kutolea mbegu za kiume jambo ambalo husababisha kuchukua muda mrefu kabla ya mbegu kutoka.Itakusaidia kusimamisha uume haraka baada ya kufunga goli la kwanza kwa kufanya mishipa ya fahamu kusababisha moyo usukume haraka damu ya kujaza uume mara akili yako itakapoonyesha kutaka kurudia tendo hilo.Tukichukulia mfano wa kisu utaweza kuelewa vizuri nguvu ya dawa hii.MISHIPA ya fahamu inayosababisha usimamishe haraka ni sawa na kisu kikali ambacho hukata nyama haraka.MISHIPA hiyo katika uume wako ikitibiwa na dawa ya PRIKA inakuwa na umakini mzuri a kusababisha uume uitikie haraka haja yako ya kurudia tendo.KWA mwenye tatizo la kuishia roundi au goli moja mishipa yake ya fahamu imekuwa kama kisu butu, ukiwa na kisu butu itakuchukua muda mrefu kukata nyama kadhalika mwenye tatizo hilo atachukua muda mrefu kuweza kusimamisha uume tena au ashindwe kabisa.. Tiba hiyo ni Tshs. 25,000 t u. Tiba hiyo itakuwezesha KUSHINDA KUTOTABIRIKA KWA NGUVU ZA KIUME.AGIZIA SASA
KWA kuwasiliana na BINGWA 0754 039994
UKWELI KUHUSU UKUBWA WA UUME
Yafuatayo
ni majumuisho ya matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya ukweli juu ya ukubwa wa
uume. Tafiti hizo zimefanywa na wanasayansi wa mapenzi toka nchi za Ujerumani,
Uingereza, Sweden, Nigeria na Afrika ya kusini. Jisomee na uone mambo yalivyo
matamu usifuate maneno ya mitaani na jichunguze uone kama uko katika kiwango au
la.
(1)
Iwapo wewe ni mwanamke
na hupendelei uume mkubwa basi wewe ni wa ajabu.
(2)
Wanawake wengi
hupendelea uume mkubwa zaidi ya wanaume kupendelea matiti au makalio makubwa.
(3)
Kwa wastani wanaume
wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 (CM 15) na nchi 7 (CM18) na unene
kati ya nchi 5 (CM12) na nchi 51/2 (CM 131/2).
...endelea
ukurasa wa HABARI MPYA..Bofya hapa...UKWELI
KUHUSU UKUBWA WA UUME
Pia USIKOSE KUTEMBELEA BLOG HII wiki lijalo kutakuwa na mambo mengi mapya.
KUONGEZA UKUBWA WA ASKARI WA TENDO LA NDOA
Posted: October-2013
Epukana
na matapeli wanaojitangaza kuwa wana dawa za kuongeza ukubwa wa uume wako kwani
ni wengi mno. Wamekuja watu wengi ambao wametapeliwa
na watu ambao wanajidai kuwa wanazo dawa za kukuza uume ambazo hazina msingi
wowote katika sayansi ya mwili wa mwanadamu. Kwa miaka 9 nimeweza kuwapatia
wanaume wengi dawa ya RODVA ambayo imefanyiwa utafiti wa miaka 14 na jopo la
madaktari ambao utafiti wao uliwekwa katika Jarida la BRITISH JOURNAL OF
MEDICINE. Dawa hii ya mafuta ina uwezo wa kuongeza urefu wa uume wa nchi 3 na unene nchi moja na sio zaidi ya hapo. Wewe
mwenyewe utachagua kiasi gani unataka uongeze kwani utakuwa unaona ukuaji wake
wewe mwenyewe na uachapo kutumia dawa pale uridhikapo na ongezeko basi hilo
ndilo litakuwa ongezeko la mwisho. Ongezeko hilo litakuwa la kudumu.
Pamoja
na kwamba dawa hiyo haina madhara ila inahitaji uvulimivu kwani inafanya kazi
polepole kuhakikisha usalama wa afya ya uume. Ongezeko la kwanza utaliona baada
ya wiki tatu na mafuta hayo yanapakwa mara moja tu kwa siku. Dawa hiyo inauzwa
Tshs. 40,000 tu. Ni
ya uhakika
UNAWEZA KUONGEZA UKUBWA WA ASKARI WA TENDO LA NDOA
ONGEZEKO NI LA HAKIKA KABISA
UKWELI
JUU YA UKUBWA WA UUME
Yafuatayo
ni majumuisho ya matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya ukweli juu ya ukubwa wa
uume. Tafiti hizo zimefanywa na wanasayansi wa mapenzi toka nchi za Ujerumani,
Uingereza, Sweden, Nigeria na Afrika ya kusini. Jisomee na uone mambo yalivyo
matamu usifuate maneno ya mitaani na jichunguze uone kama uko katika kiwango au
la.
(1)
Iwapo wewe ni mwanamke na hupendelei uume
mkubwa basi wewe ni wa ajabu.
(2)
Wanawake wengi hupendelea uume mkubwa zaidi
ya wanaume kupendelea matiti au makalio makubwa.
(3)
Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye
urefu wa kati ya nchi 6 (CM 15) na nchi 7 (CM18) na unene kati ya nchi 5 (CM12)
na nchi 51/2 (CM 131/2).
(4)
Unapofikiria kuwa uume wako ni mdogo mara
nyingi unakuwa hujakosea.
(5)
Wanawake wengi hujali kuhusu ukubwa wa uume
unapokuwa haujasimama.
(6)
Wanawake wanaojua mapenzi hupendelea
kushika uume wa mwanaume unapokuwa umesimama na pia pale ambapo haujasimama.
(7)
Wanawake wanaojua mapenzi hupendelea
kunyonya uume ulio mkubwa kuliko ule ulio mdogo
(8)
Uume mkubwa huleta burudani zaidi kwa
mwanamke zaidi ya uume mdogo kwani unagusa maeneo mengi zaidi yenye miisho
mingi ya mishipa ya fahamu na unaweza kuondoa hewa yote iliomo ukeni na
kutengeneza mazingira mazuri ya raha zaidi.
(9)
Asilimia ishirini ya wanawake wote watadumu
na kuwa waaminifu kwa wapenzi wao wenye uume mkubwa sababu kubwa ni raha
wanayopata na sio fedha au kitu kingine.
(10)
Asilimia 40 ya wanawake watadumu na mpenzi
mwenye uume mdogo kwa sababu ya pesa anazofaidi.
(11)
Asilimia 80 ya wanawake wangependelea
wapenzi wao waongeze ukubwa wa uume wao.
(12)
Wanawake wengi wanaona kuwa ni kero kuwa na
mwanaume mwenye uume mdogo japo hawasemi na kukaa kimya kama vile hakuna shida
yoyote. Na sio hilo tu bali pia inawaboa sana kufikiria juu ya mapungufu hayo.
(13)
Ukikutana na mwanamke anayesema kuwa hajali
juu ya ukubwa wa uume ni muongo.
(14)
Wanawake wengi hutamani kulala na mwanaume
mwenye uume mkubwa zaidi ya ule wa mpenzi wake japo kwa siku moja tu katika
historia ya maisha yake.
(15)
Wanawake wengi hujitapa kwa wanawake wenzao
iwapo wana mwanaume mwenye uume mkubwa wa kutosha.
(16)
Wanawake wanaweza kumvumilia zaidi mwanaume
mwenye uume mkubwa kupita kiasi kuliko kumvumilia mwenye uume mdogo.
(17)
Wanaume wenye uume mdogo huachwa na
wanawake kwa urahisi zaidi kuliko wale wenye uume mkubwa. Na wanaoachwa kwa
sababu ya uume mdogo ni wengi zaidi ukilinganisha na wale wenye uume mkubwa.
(18)
Kutokana na ukweli huo upo uwezekano mkubwa
kuwa mwanamke anapokuacha au kukusaliti basi mwanaume mpya ni mwenye uume
mkubwa zaidi yako.
NGUVU ZA ASKARI WA TENDO LA NDOA
Tatizo
la nguvu za kiume na kuwahi kumaliza linawasumbua wanaume wengi sana na kwa
bahati mbaya kwa kuwa tatizo hilo halisababishwi na wadudu wa aina yoyote na
tiba yake imekuwa ngumu. Usidanganywe kuwa kuna tiba ya kudumu ya tatizo hilo.
Tiba
ya muda mfupi, yaani unameza kidonge kimoja saa moja kabla ya kukutana na
mwanamke katika tendo la ndoa, kesho ukihitaji tena inakupasa umeze kidonge
kingine chenye thamani isiyopungua Tshs. 3000.
Tafiti
zimegundua njia nafuu na salama ya kukupatia nguvu za kutosha na kuzuia kuwahi
kumaliza. Tiba utakayoipata toka kwangu inahusu mazoezi maalumu ya misuli
ihusikayo na nguvu za kiume na virutubisho ambavyo kazi yake ni kufanya
mzunguko wa damu katika misuli hiyo kuongezeka na pia kufanya mishipa ya fahamu
ifanye kazi nzuri ya kukuwezesha kurudia tendo pale akili yako itakapotaka
kurudia roundi nyingine. Tiba hiyo ni Tshs. 25,000 tu. Tiba hiyo inaitwa KUSHINDA KUTOTABIRIKA KWA NGUVU ZA KIUME.