Tembelea Website Yetu Bofya Hapa
SASA UNAWEZA kupata maarifa zaidi kwa malipo kiasi, kuna mada zaidi ya 50 zikiwemo:
KUNYAUKA KWA HAMU YA TENDO LA NDOA NA TIBA YAKE
SASA UNAWEZA kupata maarifa zaidi kwa malipo kiasi, kuna mada zaidi ya 50 zikiwemo:
- JINSI YA KURAHASISHA KUMFIKISHAMKE KILELENI (MAENEO 14 muhimu KATIKA MWILI WA MWANAMKE).KUWA FUNDI USIBAHATISHE.
- MAENEO 11 KATIKA mwili wamwanaume ambayo mke anapaswa kujua jinsi ya kuyashughulikia kumhamasisha mume.
- MWANAMKE ANAEDANGANYA KUWA AMEFIKAKILELENI JINSI YA KUMGUNDUA, NA JINSI YA KUJITHIBITISHIA KUWA MKEO KWELIAMEFIKA KILELENI.dalili za mpenzi asie mwaminifu.
- Mwanamke anaekupenda yukoje, namwanaume anaekupenda yukoje.
- Jinsi ya kumthibitishia mtu kuwaunampenda.
- DALILI ZA MPENZI ANAETAKAKUKUACHA,
- Jinsi ya kusababisha upate mtotowa jinsia unayoitaka.
- SABABU KUU ZA WAPENZI KUACHANA.
- SABABU ZA WANAWAKE KUACHWA MARABAADA YA TENDO LA NDOA
- SABABU KUU ZINAZOSABABISHAUSALITI
KUNYAUKA KWA HAMU YA TENDO LA NDOA NA TIBA YAKE
Ni
ukweli usiopingika ni kuwa hakuna starehe iliyotamu zaidi ya tendo la ndoa
kwani hata wanyama kama vile ng`ombe na mbwa wanashuhudia hilo na ndege nao pia
kama kuku na bata nao pia wanatukumbusha hilo. Kutokana na utamu huo wanadamu,
wanyama na hata ndege hawataki kuona dume jingine linataka kufanya mambo na
jike lake. Kwa kuwa wanyama na ndege hawana akili nyingi kama mwanadamu
ungetegemea kuona kuwa mwanadamu anafaidi zaidi utamu huo wa ajabu na kuweza kuondoa vikwazo vyovyote
vinavyomfanya mtu asifurahie zawadi hiyo kubwa toka kwa mwenyezi Mungu.
Utafiti
uliofanywa hivi karibuni na chuo kikuu cha Texas huko Marekani unaonyesha kuwa
wanawake wenye umri kati ya 27 hadi 45 hufurahia zaidi tendo la ndoa ukilinganisha
na wale wenye umri wa 18 na 26 japokuwa
hawa wa umri wa 18-26 hushirikiana tendo
la ndoa mara nyingi zaidi ya kundi lile linguine. Kiongozi wa utafiti
huo Dr. David Buss anasema kuwa
wanawake wenye umri kati ya 27 na 45 pia huwa na uwezekano mkubwa wa kutamani
mwanaume mwingine zaidi ya mpenzi wake wa sasa. Hivyo kwa mwanamke yeyote yule
kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa lazima kuonekane kama tatizo la ugonjwa
mkubwa. Utafiti huo mpya uliofanywa miongoni mwa wanawake 820 umegundua kuwa
wanawake wengi wenye tatizo hilo huwa wepesi kuwakatalia tendo la ndoa wapenzi
wao bila kujali matokeo mabaya ya ukatili huo. Nasema ni ukatili kwani mwanaume
hupata maumivu makali sana anapokataliwa kushiriki tendo la ndoa na ndio maana
kwenye Biblia katika kitabu cha kwanza cha Wakorintho sura ya 7 tunaagizwa
tusinyimane tendo hilo muhimu kwani ni hatari. (1 Wakorintho 7:1-5).
Dr David Buss
anasema kuwa asilimia 34 ya wanawake hawana hamu ya tendo la ndoa na asilimia
zaidi ya 70 ya wanawake hao hao wamekiri kwamba tatizo hilo limechangia
kuharibu ndoa zao na mahusiano yao kwa ujumla.La kustajaabisha ni kwamba ni
wachache sana kati yao waliodiriki kutafuta tiba ya tatizo hilo. Daktari
mwingine aliyeshiriki katika utafiti huo Dr.
Sherly Kingsberg anasema kuwa wanawake wengi hawajui kuwa hilo ni tatizo na
hawajui kuwa ni tatizo linalotibika. Tatizo linakuwa kubwa kwani madaktari
wengi katika hospitali zetu hapa nchini hawajui
la kufanya kuwasaidia watu wa aina hiyo wanawake kwa wanaume. Katika utafiti
wangu mwenyewe nimegundua hilo na kwa mshangao mkubwa kuona madaktari wengi
hawahangaiki kutafuta njia sahihi na zisizo na madhara kwa watu wenye matatizo
ya hamu ya tendo la ndoa. Hivi karibuni mwezi wa 3. 2015 nilikuwa naongea na
daktari mmoja toka hospitali moja ya rufaa jijini Mwanza na nilishangaa kuwa
alikuwa hajui kazi ya vichocheo vya Oxytocin
na Dopamine katika kuongezea
utamu na hamu ya tendo la ndoa katika mwili wa mwanadamu. Na huyo hakuwa
daktari wa kwanza kunionyesha mapungufu yaliyomo katika madaktari wanaosomea
hapa nchini Tanzania.
Mtaalamu
mwingine alishiriki kwenye utafiti huo anasema ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa
ni janga kubwa katika historia ya mwanadamu. DR. Louna Brizendine mkurugenzi wa WOMEN`S MOOD AND HORMONE
CLINIC (KLINIKI YA HISIA NA VICHOCHEO VYA WANAWAKE) wa chuo kikuu cha Califonia anasema wanawake wengi
hujisikia vibaya juu ya tatizo hilo lakini hawalitafutii ufumbuzi wake.
Ukosefu
wa hamu ya tendo la ndoa unawakosesha wanaume na wanawake wengi raha ya maisha
yao. Dalili kubwa ya tatizo hili baya ni kupungua kwa mawazo juu ya tendo la
ndoa, kupata shida kufika kilelen na kutopata raha ya kutosha wakati wa tendo
la ndoa.
Wanawake
wanaongoza katika kupungukiwa na hamu ya tendo la ndoa jambo ambalo ni hatari
kubwa kwa wanandoa ,kwa sehemu imechangiwa na madawa ambayo wanawake hutumia
kuzuia wasipate ujauzito. Tafiti zilizofanyika na chuo kikuu cha Tubingeni
nchini ujerumani zimeonyesha kuwa wanawake wengi wanaotumia dawa za kumeza
kuzuia kupata mimba ndio ambao wameathirika zaidi ya wengine wanaotumia njia
nyingine tofauti.
Tatizo
la kupoteza hamu kwa vipindi Fulani huitwa
Hypoactive Sexual Desire disorder na tatizo la kupoteza hamu ya tendo la
ndoa kabisa linaitwa sexual aversion disorder.
Tatizo
la hamu la tendo la ndoa miongoni mwa wanaume nalo linahitaji kuangaliwa kwa
kina kwani linawakumba asilimia 10 ya wanaume wenye umri kati ya 45 hadi 60 na asilimia 20
kwa wanaume wenye umri zaidi ya 60. Asilimia
6 tu ya wanaume chini ya miaka 45 wamekumbwa na tatizo hilo. Katika uzoefu
wangu katika kuhudumia watu na pia uzoefu wa wataalamu wengine wengi tatizo la
nguvu za kiume na kuwahi kumaliza linachangia sana kwa wanaume kupungukiwa na
hamu ya tendo la ndoa.
VITU
VINAVYOCHANGIA KULETA TATIZO LA UPUNGUFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA
1.
POMBE
Ingawaje
pombe yaweza kukufanya utamani tendo la ndoa kwa jinsi ilivyokuwa na nguvu ya
kukuondolea aibu lakini ukitumia pombe kwa wingi itakupunguzia hamu na uwezo wa
kufurahia tendo la ndoa.
2.
KAHAWA
Ni
kweli kuwa kahawa inaweza kukufanya mchangamfu na ni kweli inaweza kukuongezea
nguvu kwa muda mfupi lakini kutumia kahawa nyingi mara kwa mara kunaathiri
kiungo muhimu kinachoitwa ARDENAL GRAND
na kusababisha ubongo na mwili wako ujazwe kichocheo kiitwacho CORTISOL ambacho huleta uchovu mwingi
katika mwili wako jambo ambalo linaweza kunyausha hamu na nguvu ya tendo la
ndoa.
3.
SUKARI BANDIA
Kwenye
vinywaji vingi na vitu vingi vitamu vitamu huwemo sukari bandia ambayo
inakemikali iitwayo ASPARTAME. Kemikali
hiyo ya aspartame huzuia kichocheo cha SEROTONIN
ambacho kazi yake ni kurahisisha usikie raha zaidi wakati wa tendo la ndoa.
Unaposhindwa kujisikia raha na hali hiyo kujirudia hamu ya tendo la ndoa
hukauka. Utafiti uliofanyika miongoni mwa watu 21,000 na kuchapishwa katika
jarida la NEW ENGLAND JOURNAL OF
MEDICINE imethibitishwa kuwa sukari bandia katika vinywaji kupunguza hamu
ya tendo la ndoa kwa watu wengi duniani.
4.
VITU VYENYE MAZIWA MENGI
Hii
inawahusu hasa wanawake na pia wale wanaopenda Ice cream na milkshake katika
maziwa.
5.
VYA KUKAANGWA
Vyakula
vya kukaangwa katika mafuta vina vitu vinavyoitwa TRANS FATS ambayo hutokana na mafuta yaliyochemka sana na
kutengeneza HYDROCARBON. Vitu hivyo viitwavyo
hydroicarbon hupandisha kiwango cha sukari mwilini na huleta uchovu mwilini.
HYDROCARBON inaweza kupunguza ubora wa mbegu za kiume na afya ya yai kwa wanawake katika viungo vya uzazi wa
mwanamke.
6.
UCHOVU
Kufanya
kazi bila ya kupumzika au mawazo magumu husababisha kichocheo cha CORTISOL
kumiminwa katika mfumo wa damu na kupunguza nguvu ya vichocheo vingine
vinavyohusika na tendo la ndoa na sio hilo tu bali pia uchovu huweza
kusababisha pia upungufu wa nguvu za kiume. Pamoja na hayo ukosefu wa usingizi
nao huleta matokeo hayo hayo kwani nalo hilo hutibua kichocheo cha CORTISOL.
7.
KUJIFUNGUA
Mama
anapojifungua mtoto mchanga kiwango cha kichocheo kiitwacho OESTROGEN hupungua kutokana na
kunyonyesha mtoto huyo na sio hilo tu bali pia inaweza kufanya uke kuwa mkavu
na hivyo mama kutofurahia tendo la ndoa.
Dawa
ya kuondoa tatizo hilo ipo na ni dawa isiyo na madhara kabisa na ni ya asili
dawa hiyo inaitwa SPONSA. Dawa hiyo
hufanya kazi kwa wanaume na wanawake pia. SPONSA
imetengenezwa na mimea ambayo inavirutubisho ambavyo husaidia kuhamasisha mwili
kutengeneza vichocheo muhimu vya Testosterone, Luteinizing hormone, estrogen
ambavyo husababisha mtu kuwa na hamu ya tendo la ndoa. Dawa ya SPONSA pia huimarisha mishipa ya damu
ili iweze kusambaza hamu na raha ya tendo la ndoa mwilini.
No comments:
Post a Comment