MAMBO YA KUZINGATIA
UNAPOKATALIWA
(1)
Mwenzio anayo haki ya kutumia uhuru wake wa
kuchagua anachokipenda na kuacha asichokipenda.
(2)
Mwenzio anathamini hisia zake kuliko zako.
(3)
Labda kwa sasa hayupo tayari jaribu
baadaye.
(4)
Iwapo unakataliwa na watu wengi jichunguze
mwenyewe. Huenda huna tabia nzuri au mvuto wako mdogo sana.
Toa maoni yako. Pia soma ukurasa wa HABARI MPYA kupata mwendelezo wa mada hii...
No comments:
Post a Comment