Monday, October 21, 2013

KUKATALIWA KATIKA MAPENZI



 MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKATALIWA
(1)        Mwenzio anayo haki ya kutumia uhuru wake wa kuchagua anachokipenda na kuacha asichokipenda.

(2)        Mwenzio anathamini hisia zake kuliko zako.

(3)        Labda kwa sasa hayupo tayari jaribu baadaye.

(4)        Iwapo unakataliwa na watu wengi jichunguze mwenyewe. Huenda huna tabia nzuri au mvuto wako mdogo sana.

Toa maoni yako. Pia soma ukurasa wa HABARI MPYA kupata mwendelezo wa mada hii...

No comments:

Post a Comment