KUONGEZA
UREFU NA UNENE WA UUME
Jarida hili ni la kukuwezesha ufanye
uume wako kuongezeka urefu na unene pia.
Maelezo na maarifa yaliyomo katika jarida hili yamethibitishwa kisayansi
na huleta matokeo mazuri. Njia hii ya kufanya ongezeko la uume liligunduliwa
karibu miaka 5000 iliyopita baada vijana wa kiarabu wa huko Sudani
walipojisikia vibaya juu ya upungufu wa urefu na unene wa uume wao, wazee wa
kiarabu wa Sudani waliwafundisha vijana wao waliobarehe jinsi ya kutumia njia
hii na vijana hao walifanikiwa kuongeza urefu na unene pia.Waarabu walifanikiwa
kuwasaidia wanaume.
Wanasayansi baada ya kugundua taratibu
hizo za kale toka kwa Waarabu wa Sudani udadisi wao haukuishia hapo.
Waliendelea kuchunguza kuangalia kama katika
historia ya mwanadamu kuna jambo lolote ambalo linaonyesha kuwa uume mkubwa ni
kitu ambacho ni muhimu kwa mwanaume kuwa nao. Kwa muda mrefu walichunguza
maandiko ya kale na wakaja kushangaa kuwa hata Mungu aliyemuumba mwanadamu nae
anafahamu haja ya mwanamke kukutana na mwanaume mwenye uume mkubwa. Katika Biblia ndani ya Kitabu cha Nabii
Ezekiel sura ya 23 mstari 19 hadi 20. “Lakini aliongeza uzinzi wake, alipofanya
mambo ya kikahaba katika nchi ya Misri. Akawapendelea wapenzi ambao nyama ya
mwili wao ni kama nyama ya mwili wa punda, nacho kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi. Ndivyo ulivyokumbuka uasherati
wa ujana wako, yalipobanwa matiti yako na Wamisri.” Na Ezekiel 16 mstari wa 26
“Tena umezini na Wamisri, jirani zako, wakuu wa mwili, ukaongeza mambo ya
kikahaba.”
JE INAWEZEKANA KWELI KUONGEZA UKUBWA
WA UUME?
Jibu la swali hili linatolewa na
sayansi yenyewe. Katika majaribio ya kisayansi mamia ya watu hufanyiwa
majaribio kuangalia kuwa nadharia iliopo inaweza kuleta matokeo mazuri bila
madhara kwa afya ya mwanadamu. Ni muhimu majaribio hayo yathibitishwe ili
madaktari wasijeshtakiwa mahakamani kwa kutoa tiba iletayo madhara kwa
watumiaji. Katika uongezaji wa uume, wanaume mia moja (100) walipimwa urefu na
unene wa uume wao, kabla ya kuanza zoezi la uongezaji. Baada ya kuanza hupimwa
tena baada ya wiki mbili na hupimwa mara kadhaa kadri siku zinavyoendelea. Baada
ya muda wa majaribio kwisha, wanasayansi wanaelezea zoezi hilo na matokeo yake katika maandishi, taarifa
hizo za majaribio zinapokelewa na kuandikwa kwenye majarida makubwa ya
kisayansi. Wanasayansi wengine wa nchi mbalimbali husoma na kukubali au kukosoa
matokeo hayo. Uhakika kuwa dawa ya RODVA haina madhara nimeupata baada ya
ushahidi wa watu ninao wafahamu kutumia bila kudhurika na sio hilo tu bali mimi
mwenyewe nimeitumia kuongezea unene wa uume wangu.
Zoezi hili lililomo mikononi mwako
limethibitishwa kuwa lina uwezo wa kukuwezesha kuongeza uume. Baada ya
wanasayansi kuona kuwa asilimia themanini na saba (87%) ya wanaume
waliojaribiwa walipata ongezeko walilohitaji ilikubalika kuwa zoezi hili
linafaa kwa wanaume wapendao kupata ongezeko la uume wao. Ni matumaini yangu
kuwa ukifuata maelekezo yaliyomo humu nawe utafanikiwa kabisa. Iwapo inakuwa
vigumu kupata maji unaweza kununua thermos (chupa ya chai) na kuhifadhi maji na
kutumia wakati upendao cha msingi maji yenye uvuguvugu mkubwa. Kama hilo pia haliwezekani basi jitahidi uoge maji ya moto
ndipo ufanye zoezi hilo .
Ongezeko la uume linaweza kuanza
kuonekana baada ya siku 21 na ni wazo zuri kuweka kumbukumbu ya bidii yako
katika zoezi hili, unaweza kupima urefu wa uume wako mara moja kila wiki.
No comments:
Post a Comment