USHAURI
UKITAKA USHAURI TOKA KWA
DR.NELSON UNALIPA SH 5000 kwa M-PESA, TIGO PESA au AIRTEL MONEY LAKINI NAMBA YA
MAWASILIANO YA AWALI NI HII 0754 039994.natoa namba ya mtandao mmoja kuepuka
kupigiwa kwenye namba nyingine kwa wakati mmoja.UNAFANYA HAYO MALIPO KWANZA
NDIPO WEWE UNAPIGA KWA GHARAMA ZAKO NA UTAONGEA NA DR. NELSON KWA MUDA USIOZIDI
SAA MOJA.KARIBUNI.IWAPO kuna mtu ambae humpendi na bado anaendelea kukusumbua
au unataka kuvunja uhusiano lakini unaogopa mpe kazi hiyo DR.NELSON NA
ATAIFANYA KWA GHARAMA YA SH 10,000.karibuni wote. IWAPO unataka ushauri ju ya
maelewana na wazazi au wakwe au wakubwa wa kazini kwako pia DR. NELSON anao
uwezo wa kukufanikishia hilo kwa gharama ya sh 10,000 tu.
UUME
MKUBWA UNAOTISHA NI HATARI
Kwa
kweli sisi wanaume tuna mtihani mkubwa sana inapofikia wakati wa tendo la ndoa
na uhusiano kwa ujumla kwani changamoto tunazokutana nazo wanawake hawazielewi
kabisa na kwa kuwa hawazielewi hawawezi kuziheshimu na kusaidia katika kuleta mafanikio ya
kimapenzi.
Sisi
wanaume tunalinganishwa katika maeneo
mengi sana wakati wanawake hulinganishwa tu kwa sura na hipsi. Sisi wanaume
tunalinganishwa uwezo wa kifedha, nguvu za kiume, uwezo wa kuchelewa kumaliza
wakati wa tendo la ndoa, urefu wa uume na unene pia. Na wachache wetu wana uume
uliopinda kama ndizi au kama bomba la kutolea maji jamani tunaomba wanawake
mjitahidi kutuelewa.
Asilimia
kubwa ya wanaume wana uume wenye urefu ambao uko chini ya kiwango yaani kati ya
nchi 6 – 7. Na ukiwa chini ya kiwango hicho upo uwezekano wa mwanamke
kukusaliti. Nikwambie rafiki, utafiti mpya kabisa uliofanyika nchi ya jirani ya
Kenya umeonyesha kuwa ukiwa na uume zaidi ya nchi 71/2
upo uwezekano mkubwa wa mke wako kukusaliti.
Utafiti
huo ulioongozwa na madaktari toka Marekani wakishirikiana na madaktari wa nchini
Kenya ulifanyika miongoni mwa wavuvi wa samaki. Watafiti hao wamegundua kuwa
wanawake wenye wanaume wenye uume mkubwa huhusianisha ukubwa wa uume na maumivu
jambo ambalo huwazuia wasifurahie tendo la ndoa kikamilifu na hivyo kutafuta
mchepuko.
Mwanamke
asipofurahia tendo la ndoa hawezi kuamini kwamba yeye ndie mwenye kasoro na
hivyo atatamani sana ajaribishe na wanaume wengine. Hali hii ya kufanya
majaribio kwa wanaume wengine hutokana na ujumbe wanaopata kwenye ndoto
wanapokuwa wamelala.Wanawake hao hushangaa kuona kwenye ndoto wanapoota kuwa
wanafanya mapenzi hupata raha ya kufika kileleni kinyume wanapofanya mapenzi na
waume zao. Kuwa na uume mdogo hutokana na ukosefu wa virutubisho muhimu kipindi
cha utotoni ambapo ukuaji wa viungo mbalimbali vya mwili hufanyika. Kuwa na uume mkubwa kupita kiasi hutokana na
kuwepo virutubisho vingi kuliko inavyohitajika.Mara nyingi madini fulani
yaliomo ardhini yanasababisha vyakula kuwa na nguvu ya kukuza uume kwa kiasi
kikubwa.
Kuna
baadhi ya maeneo hapa duniani ambayo kutokana virutubisho vilivyomo ardhini
vyakula vyake husababisha wanaume kuwa na uume mkubwa. Kwa mfano, Mbunge wa
West Moyo huko Sudani Kusini Mr. Tom Aza aliwaambia waandishi wa NTV Uganda
kuwa watu wa eneo lake wanahitaji Condom ambazo ni kubwa zaidi ya zile zilizopo
madukani kwani wamejaliwa kuwa na uume mkubwa kuliko kawaida.
Mbunge
mwingine huko Uganda Mr. Medard Butekyerezo nae ameshuhudia wanaume wakilalamikia
udogo wa Condom zilizomo madukani na hivyo kuwaweka katika hatari yan
kuambukizwa gonjwa hatari la UKIMWI. Kamati ya Bunge la Uganda inayohusika na
Kampeni za HIV wamesema wameona ukweli wa hoja hizo na wameahidi kulifanyia
kazi kikamilifu.
Wakati
Waganda wanataka Condom kubwa zaidi utafiti uliofanywa 2006 nchini India
unaonyesha kuwa wanaume wa huko wana uume mdogo kutokana na malalamiko kuwa
Condom ambazo zimetengenezwa kwa viwango vya kimataifa ni vikubwa na hivyo
kuomba watengenezewe Condom ndogo kuliko zile ambazo zipo sokoni. Shirika la
utafiti la huko India liitwalo INDIANI COUNCIL OF MEDICAL RESEARCH
limethibitisha kuwa ni kweli kabisa kuwa Condom zilizopo sokoni ni kubwa kwa
nchi moja zaidi ya uume wa wahindi wa taifa hilo.Hili la wahindi nimelishuhudia
mimi mwenyewe baada ya dada mmoja kuwa na mpenzi wa Kihindi na kuomba ushauri
wa jinsi ya kuachana nae kutokana na udogo wa uume alionao mhindi huyo.Utafiti
huo unaonyesha kuwa asilimia 60% ya wahindi wanahitaji Condom ndogo zaidi.
Nchi zinazoongoza duniani kuwa na wanaume
wengi wenye uume mkubwa ni Jamhuri ya Congo, urefu wa nchi 7 ¼
ikifuatiwa na ECUADO na Colombia. Hiyo ni rekodi ya dunia na bara la Ulaya
(European Union) nchi inayoongoza ni Ufaransa ikifuatiwa na Sweden na Estonia.
KITABU KIPYA
DR. NELSON ametoa vitabu vipya ya aina TATU
1,JINSI YA KUMRIDHISHA
MWANAMKE KITANDANI NA KUDUMISHA PENZI.Ndani yake utajifunza DALILI ZA MWANAMKE
MTAMU,NJIA MPYA KABISA YA KUFANYA MAPENZI,MITINDO MUHIMU YA TENDO LA NDOA NA
PICHA ZAKE,KUTAMBUA KAMA KWELI UNA UUME WENYE KIWANGO NA JINSI YA KUMFANYA
MWANAMKE AJISIKIE KUWA NI MWANAMKE WA UKWELI.
MBINU ZA KUMTOSHELEZA
MWANAUME NA KUDUMISHS PENZI,ndaniyake utajifunza mambo yote ambayo mwanamke
anahitaji ili kumfanya mwanaume atosheke nae katika tendo ambalo wanaume wengi
hulishabikia,pia mwanamke atajifunza mambo 10 yanayowachukiza wanaume hadi
wakimbilie michepuko(ondoa msongmano kitandani.),,mwanamke atafahamu tofauti
zilizopo za utamu wa mapenzi,,utaona jinsi wanaume wanavyolinganisha wanawake
namitindo wanayopendelea wanaume wengi,
3.SIRI ZA KUPENDA NA KUPENDEKA,Katika kitabu hiki kizuri utafahamu sifa za penzi la kweli na njia muhimu za kutoa penzi hilo na kupokea penzi la uhakika kabisa.
MAWAKALA
NINGEPENDA Kuwa na mawakala na wasambazaji mikoa yote lakini uzoefu
wangu unanitisha kiasi nishindwe kufanya hivyo WAKALA wa SONGEA,MAKAMBAKO,TANGA
MJINI,,SINGIDA,SHINYANYANGA,TABORA,KIBONDO,MPANDA,MBOZI,TUKUYU, KYELA
walishindwa kuwa waaminifu na kuniletea hasara kubwa .NINA MAWAKALA WACHACHE
ambao tokea MWAKA 2007 WAMEKUWA WAAMINIFU NA unaweza kuwapigia simu na ukapata
huduma inayojitosheleza kwani maelekezo ya dawa zote nimeyachapisha mimi
mwenyewe. DAR ES SALAAM RAMADHANI yuko KARIAKOO MSIMBAZI namba yake 0787
331930, ARUSHA ustaadhi ISSA NAMBA YAKE 0755366822 IDARA
YA MAJI ARUSHA MJINI,MOSHI STEND 0752 845656 AU 0715845656, MBEYA BONY
0784373656, MOROGORO 0713659670,DODOMA 0714677727 AU 0763537694 ,
KIGOMA MRS MPENDA 0714500600 AU 0753570092 NA IRINGA
maeneo ya MIOMBONI MAJA STATIONARY MR EMMANUEL 0754899504, NJOMBE 0764569263 FARAJA
Tatizo la nguvu za kiume na kuwahi kumaliza linawasumbua wanaume wengi sana na kwa bahati mbaya kwa kuwa tatizo hilo halisababishwi na wadudu wa aina yoyote na tiba yake imekuwa ngumu.Tiba utakayoipata kwangu imetokana na utafiti wa miaka 7 na ukifuata maelekezo yake hutasumbuliwa tena na matatizo ya guvu za kiume na kuwahi kumaliza.
Tafiti zimegundua njia nafuu na salama ya kukupatia nguvu za kutosha za kuidumu na kuzuia kuwahi kumaliza. Tiba utakayoipata toka kwangu inaaanza na zoezi la kushtua misuli na mishipa husika kasha ndio unatumia dawa hiyo kwa asubuhi na jioni. Dawa hiyo ya PRIKA inawezesha mishipa ya fahamu pamoja na mishipa ya damu kufanya kazi yake vizuri.
Inamaliza tatizo la kuwahi kumaliza(kupizz) kwa kuwezesha msuli kujaaa damu na kuibana njia ya kutolea mbegu za kiume jambo ambalo husababisha kuchukua muda mrefu kabla ya mbegu kutoka.Itakusaidia kusimamisha uume haraka baada ya kufunga goli la kwanza kwa kufanya mishipa ya fahamu kusababisha moyo usukume haraka damu ya kujaza uume mara akili yako itakapoonyesha kutaka kurudia tendo hilo.Tukichukulia mfano wa kisu utaweza kuelewa vizuri nguvu ya dawa hii.MISHIPA ya fahamu inayosababisha usimamishe haraka ni sawa na kisu kikali ambacho hukata nyama haraka.MISHIPA hiyo katika uume wako ikitibiwa na dawa ya PRIKA inakuwa na umakini mzuri a kusababisha uume uitikie haraka haja yako ya kurudia tendo.
KWA mwenye tatizo la kuishia roundi au goli moja mishipa yake ya fahamu imekuwa kama kisu butu, ukiwa na kisu butu itakuchukua muda mrefu kukata nyama kadhalika mwenye tatizo hilo atachukua muda mrefu kuweza kusimamisha uume tena au ashindwe kabisa.. Tiba hiyo ni Tshs. 25,000 tu . Tiba hiyo itakuwezesha KUSHINDA KUTOTABIRIKA KWA NGUVU ZA KIUME.AGIZIA SASA
KWA kuwasiliana na BINGWA 0754 039994
KIINI CHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Nguvu za kiume za kuaminika hutokana na ushirikiano wa ubongo, mfupa wa fahamu, misuli na mishipa ya damu.Kimoja kati ya hivyo kikisinzia kwa sababu moja au nyingine mwanaume ataaibika mbele za mwanamke aliemvulia chupi.Hatari ni kwamba kwa kuwa mwanamke hana jibu la uhakika anaweza kufikiria umekuwa shoga au una wanawake wengine pembeni.Ndugu katika ulimwengu wa sasa lazima utalinganishwa nguvu zako na ukubwa wa uume wako kabla ya ufundi wako kukaguliwa.SAYANSI inaonyesha kuwa uume wenye afya nzuri husimama mara 11 ndani ya kila masaa 24 na 9 kati ya hizo ni wakati wa usiku.FAHAMU njia za kutunza afya ya uume wako kwa kuagizia dawa ya PRIKA ambayo itakuja na maelekezo yake pamoja na bonasi ya njia za kisayansi za kuzuia tatizo hilo lisikurudie tena baada ya kuondolewa na PRIKA.WAHI SASA ni bidhaa mpya kabisa.