Thursday, October 9, 2014


ACHA UZEMBE SEX INALIPA

SEX NI DAWA YA KWELI


Tendo la ndoa husababisha kutibuka kwa kichocheo kiitwacho OXYTOCIN na kukifanya kiaanze kuzurura  kwenye mfumo wa damu. Katika pitapita zake OXYTOCIN   huondoa maumivu yaliyomo katika moyo na nafsi yako na hivyo kuboresha afya yako. Ugunduzi huo ulioripotiwa katika jarida la madaktari bingwa liitwalo THE BULLETIN OF EXPERIMENTIAL BIOLOGY AND MEDICINE. Madaktari hao wanasisitiza kuwa tendo la ndoa likifanyika kwa makamuzi yasiopungua nusu saa hufanya misuli ya mwili kuwa na nguvu na kusaidia katika kupunguza uzito kwa kuunguza mafuta yaliyojijenga mwilini.


Unapata ushahidi huo wewe mwenyewe ukikumbuka kuwa kasi ya upumuaji huongoezeka wakati wa Sex. Kwa watu wenye ugonjwa wa pumuSex ni dawa tamu kwao kwani husababisha uzalishaji wa dawa ya kuondoa makali ya ugonjwa wa pumu kwa kuzalisha mwilini dawa iitwayoANTIHISTAMINE. Sio hilo tu bali kula denda (kunyonyana ulimi) inapunguza kiwango cha tindikali mdomoni na kuongezea afya na usalama wa meno yako.

Wataalam hao wanasema iwapo utafanya tendo la ndoa polepole bila ya haraka yoyote na ukachukua muda usiopungua dakika 30 basi ngozi yako inakuwa nyororo na yenye afya nzuri sana kuliko kutumia vipodozi. Kwa watu wenye umri wa kupata makunyanzi ya uso na ngozi hii ndio dawa pekee ya kuondoa au kuzuia hali hiyo.



La kushangaza zaidi wataalam wengine wa Chuo Kikuu cha ROYAL ASTRALISIAN COLLEGE wanasema kuwa ukiona mpenzi wako hakuelewi na ukiona pia tendo la ndoa mnafanya mara chache na kwa mdua mfupi njia ya kubadilisha akili yake ili apate uwezo wa kufikiria vizuri na kukuelewa ni SEX. Sex au kwa jina linguine URODA hutibua kichocheo kingine kiitwacho DEHYDROEPIAN DROSTERONEambacho kikichanganyikana na kichocheo kilichotajwa hapo juu cha OXYTOCIN hufanya ubongo kuwa mwepesi kuelewa mambo na kumfanya mpenzi wako awe na huruma zaidi na atweza kutafuta njia za kufanya mabadiliko ili usiendelee kuumia.

Na kwa wanaume nao tambueni kuwa mko katika hatari ya kupata saratani ya Prostate (PROSTATE CANCER) na dawa pekee ni URODAmwingi. Mabingwa wa Sayansi ya mwili wako wa NATIONAL CANCER INSTITUTE wa huko Marekani wanapendekeza wanaume wafanye tendo la ndoa mara 5 kwa wiki la sivyo watajikuta wanachomekewa mipira yenye chupa kwenye tundu la uume ili wasifanye sex tena.

Utafiti mwingine wa kweli na wa kushangaza unathibitisha kwamba kufanya mapenzi kwa kutumia mdomo na kufanya mapenzi bila ya kinga unakuletea faida za kiakili na kiafya pia. Viongozi wa utafiti huo Dr. Gordon Callup na Rebecca Burch wa Chuo Kikuu cha Newyork Marekani na Dr. Steven Platek wa Chuo Kikuu cha Liverpool huko Uingereza wanasema virutubisho vilivyomo katika Mbegu za kiume vina dawa za kubadilisha akili ya mtu (Mid-alterving drug)  virutubiho hivyo viitwavyo ESTRONE, CORTISOL, PROLACTION, THYROTROPIN na SEROTONIN vimethibitishwa kuwa na uwezo w kubadilisha  uwezo w kuelewa na kufanya maamuzi mbalimbali. Sisemi kuwa kutumia kinga ni kubaya bali Mwenyezi Mungu alietuumba alijua thamani ya tendo la ndoa na humo akaweka vitu vitakavyotusaidia. Kinga zimewekwa kwa  ujanja wa wanadamu na mara nyingi ujanja wa wanadamu katik mwili wa mwanadamu una madhara yake kama uonavyo kwa madawa ya kuzuia mimba unaoufahamu kama uzazi wa mpango..


Tafiti hiyo haikuishia hapo bali pia ilionekana pia kwa wanawake wanaojiuza n kufanya ukahaba na wale wazinzi wanaochepuka toka ndoa zao watumiapo kondom wanakuwa hawana tofauti kabisa na wale ambao hawafanyi tendo la ndoa kabisa. Yaani hawafaidiki sawa sawa na wale wanaofanya sex bila kutumia kinga.

Wasiliana nami kwa ushauri na msaada zaidi namba 0754039994.

No comments:

Post a Comment